Chama kwa Kirefu:
Chama cha Ukombozi wa Umma
Chama Kilizaliwa:
2013
Makao Makuu:
Kijitonyama, Dar es Salaam
Mahojiano Maalum:
Mwenyekiti:
Hashim Spunda Rungwe
Katibu Mkuu:
Ally Omary Juma
Viti vya Ubunge (Uchaguzi 2015):
0
Viti vya Ubunge (Uchaguzi 2020):
0
Chama cha kisiasa kijulikanacho kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) chenye falsafa ya umoja wa kitaifa kilipata usajili wake Juni 4 mwaka 2013 na ofisi zake zipo Makumbusho, Kijitonyama Jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa chama cha CHAUMMA ni Hashim Rungwe Spunda na Katibu Mkuu wake ni Ali Omar Juma.