Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini
  • Wanafunzi wa shule ya sekondari Kyanyari wakipokea taulo za kike

    Wanafunzi wa kike 800 wapatiwa taulo za kike Mara
    Wilaya mbili za Musoma na Butiama kila wilaya ilipokea taulo za kike 400
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akizungumza na Meneja Rasilimali watu wa ITV, Bi. Hellen Elipokea wa katikati.

    ITV wachangia Namthamini pakiti 1200
    Ambazo zinaweza kuwasaidia wanafunzi 100 kwa mwaka mzima
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akipokea taulo za kike kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Luna Pads, Luna Kikuchi.

    Luna Pads wamthamini mtoto wa kike
    Wamechangia taulo za kike pakiti 50 ili kumbakisha binti shuleni
  • Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mbambi akipokea zawadi ya t-shirt ya Namthamini.

    Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama
  • Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama

Served

Girls from more than 15 regions in Tanzania

Donate Money

Donate any amount of money
5,000/=
This amount will help a girl for a period of one month.
Donate
Donation is done by the following ways
1
Bank
Account Number: 015043198200
Account Name: Namthamini
Bank Name: CRDB
2
MPESA
You can donate via our Mpesa lipa number 5999900
name East Africa Television
For inquiry call 0787 633 313

Donate Pads

Donate and help one girl for one year.
Donate
Donation is done by the following ways
You can deliver your donation of Sanitary pads at our offices located at Mikocheni EATV Studio.
For inquiry call 0787 633 313
News & Updates

Picha ya msanii Madee

Madee aeleza mwanae alivyopata shida ya Hedhi

Leo Mei 28 ni siku ya Hedhi Duniani ambapo East Africa TV na East Africa Radio imezindua...

Read more

Madee aeleza mwanae alivyopata shida ya Hedhi

Picha ya msanii Madee

Katika kampeni hiyo iliyofanyika leo imezinduliwa na watu maarufu na wasanii kama Madee, Mwasiti, Chris Mauki na Devotha David ambaye ameanza kwa kutoa box saba zenye taulo za kike (pedi). 

"Mwaka jana nilisafiri na mwanangu wa kwanza ambaye yupo Form One, tulifika sehemu kula na kunywa vinywaji, wakati tumekaa kuna mdada akanifuata kuniomba mtoto wangu, akamchukua na kuelekea Toilet, baadae akatoka kuniuliza nina elfu 5" 

"Nikamuuliza ya nini akasema anataka kununua kifaa, Yeye mwenyewe aliogopa kuniambia nikampa ile pesa ila tayaru nilikuwa nimeanza kuhisi kitu, baadae akaniambia kwamba mwanangu amejichafua"

"Nilivyorudi nikamuacha kwa mama yake ili aongee nae kwamba amejichafua, baadae mama yake akanipigia simu huku analia kwamba mtoto amekuwa na amevunja ungo, nikamuuliza sasa kama wewe unalia yeye itakuaje" ameeleza Madee 

Katika kampeni hiyo iliyofanyika leo imezinduliwa na watu maarufu na wasanii kama Madee, Mwasiti, Chris Mauki na Devotha David ambaye ameanza kwa kutoa box saba zenye taulo za kike (pedi). 
 

Balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama akipokea mchango wa pedi kutoka kwa Devotha Mkwawa

Kampeni ya Namthamini 2021 yazinduliwa rasmi

Ikiwa leo ni Siku ya Hedhi Salama Duniani, East Africa Television na East Africa Radio...

Read more

Kampeni ya Namthamini 2021 yazinduliwa rasmi

Balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama akipokea mchango wa pedi kutoka kwa Devotha Mkwawa

Akiongea kupitia kipindi cha DADAZ ambapo uzinduzi umefanya rasmi mtangazaji wa kipindi hicho Bhoke ameeleza mafanikio makubwa ya kampeni hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilianza mwaka mnamo mwaka 2017.

Mtangazaji Bhoke

''Tangu kampeni ya Namthamini NasimamaNaye ianze mwaka 2017, East Africa Television na East Africa Radio zimefanikiwa kugawa pedi zaidi ya 40,000 ambazo zimewasaidia wanafunzi zaidi ya 10,000 nchini kote,'' ameeleza Bhoke.

Aidha, moja ya wazalishaji wa pedi ambao wamekuwa wakishirikiana na East Africa Television na East Africa Radio kwa kiasi kikubwa katika kufikia lengo, kampuni ya Keys Pads kupitia mwakilishi wake Heris Mtui wamesema kwa sasa suala la pedi lipo wazi zaidi ukimya umeshavunjwa.

Heris Mtui kutoka Keys Pads

''Unajua wakati kampeni ya Namthamini inaaza mambo hayakuwa kama leo, kiukweli tumefanikiwa sana kuvunja ukimya na hata dukani huwezi kukuta tena pedi zinafichwa badala yake zinawekwa kama bidhaa za mbele kabisa,'' amesema Mtui.

Msanii Madee ni miongoni mwa wageni kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Namthamini

Timu ya East Africa Tv na Radio ikimkabidhi Taulo za kike Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Namthamini yaipiga jeki Kisarawe kuinua elimu

Wilaya ya Kisarawe imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kuinua elimu ya mtoto wa kike...

Read more

Namthamini yaipiga jeki Kisarawe kuinua elimu

Timu ya East Africa Tv na Radio ikimkabidhi Taulo za kike Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani yaliyofanyika kwenye shule ya Sekondari Minaki.

Mwegelo amesema  halmashauri imekuwa ikitenga fedha za kununulia taulo za kike ambapo mwaka jana ilitenga sh. milioni 4 na mwaka huu sh. milioni 3, jitihada ambazo pia zimekuwa zikiungwa mkono na EATV kupitia kampeni yake ya Namthamini.

Awali akifungua maadhimisho hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe, Mussa Gama, amesema kuwa wilaya ya Kisarawe bado inakabiliwa na tatizo la mimba za utotoni ambapo hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa kudhibiti hali hiyo.

Kampeni ya Namthamini imefanikiwa kupatikana kwa taulo za kike zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi wa kike 300 kwa mwaka mzima, pamoja na vifaa vingine vya shule.

Awali maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kisarawe kwa kushirikiana na EATV kupitia kampeni ya Namthamini yalianzia ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kisarawe hadi shule ya Sekondari Minaki.

  • More

Namthamini

  • Kiswahili
Campaign
Namthamini

In 2017 EATV LTD launched a campaign to raise female towels for needy students at school.

The campaign came after studies showed that many girls face challenges in their menstrual cycle by failing to buy female towels thus leading to school absences for approximately 3 to 7 days a month of study.

2023 is the seventh (7) year since the inception of this project, with the main goal being to keep this girl in school without fail just because she has failed to buy safe towels.

By 2023, the Campaign aims to reach 10,000 girls in various regions of Tanzania.

The purpose of the project
Our main goal is to help this girl by providing her with a safe towel and making sure she never misses her studies and achieves her dreams.

'When you raise one girl, you lift the whole community'
#Namthamini
#NasimamaNaye

Schools
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Kinana
Arusha
Shule ya Sekondari Muriet
Arusha
Shule ya Sekondari Musa
Arusha
Shule ya Sekondari Ngarenaro
Bukoba
Shule ya Sekondari Izimbya
Bukoba
Shule ya Sekondari Ruhunga
Dar es salaam
Shule ya Msingi Rahaleo
Dar es salaam
Shule ya Msingi Tuliani
Dar es salaam
Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Abdu Jumbe
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Buza
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Jangwani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kibugumo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kidete
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisota
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisutu
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Maendeleo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Minazini
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Tungi
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Turiani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Twiga
Dodoma
Shule ya Sekondari Hombolo
Dodoma
Shule ya Sekondari Kikombo
Dodoma
Shule ya Sekondari Msalato
Iringa
Shule ya Sekondari Lukosi
Iringa
Shule ya Sekondari Mazombe
Iringa
Shule ya Sekondari Nyalumbu
Kigoma
Shule ya Sekondari Bogwe
Kigoma
Shule ya Sekondari Katubuka
Kigoma
Shule ya Sekondari Kigoma Grand
Kigoma
Shule ya Sekondari Mlole
Kigoma
Shule ya Sekondari Murubona
Kigoma
Shule ya Sekondari Mwananchi
Lindi
Shule ya Sekondari Mchinga
Lindi
Shule ya Sekondari Ngongo
Manyara
Shule ya Sekondari Simbay
Manyara
Shule ya Sekondari Sumaye
Mara
Shule ya Msingi Mwisenge
Mara
Shule ya Sekondari Kyanyari
Mbeya
Shule ya Sekondari Busokelo
Mbeya
Shule ya Sekondari Garijembe
Mbeya
Shule ya Sekondari Kalonge
Mbeya
Shule ya Sekondari Maziwa
Mbeya
Shule ya Sekondari Nsenga
Mbeya
Shule ya Sekondari Stellafam
Mbeya
Shule ya Sekondari Usongwe
Mtwara
Shule ya Sekondari Chiungutwa
Mtwara
Shule ya Sekondari Lukuledi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mangamba
Mtwara
Shule ya Sekondari Masasi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mikindani
Mtwara
Shule ya Sekondari Mitengo
Mtwara
Shule ya Sekondari Naliendele
Mtwara
Shule ya Sekondari Nanyumbu
Mtwara
Shule ya Sekondari Napacho
Njombe
Shule ya Sekondari Iwawa
Njombe
Shule ya Sekondari Kitulo
Njombe
Shule ya Sekondari Mabatini
Njombe
Shule ya Sekondari Mavala
Njombe
Shule ya Sekondari Mchuchuma
Pwani
Shule ya Sekondari Dunda
Pwani
Shule ya Sekondari Kibuta
Pwani
Shule ya Sekondari Maneromango
Pwani
Shule ya Sekondari Matimbwa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Luwawasa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Manyanya
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mashujaa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbambi
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbinga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Kishapu
Shinyanga
Shule ya Sekondari Mwataga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Samuye
Shinyanga
Shule ya Sekondari Tinde
Simiyu
Shule ya Sekondari Badi
Simiyu
Shule ya Sekondari Binza
Simiyu
Shule ya Sekondari Kidinda
Simiyu
Shule ya Sekondari Somanda
Singida
Shule ya Sekondari Gunda
Singida
Shule ya Sekondari Ntuntu
Tabora
Shule ya Sekondari Idete
Tabora
Shule ya Sekondari Ikomwa
Tabora
Shule ya sekondari Ndono
Tabora
Shule ya Sekondari Tura
Tanga
Shule ya Sekondari Korogwe
Tanga
Shule ya Sekondari Kwamatuku
Tanga
Shule ya Sekondari Kwedzinga
Tanga
Shule ya Sekondari Segera
What they Said
  • "Rotary tulianzisha mradi wa kuwawesha mabinti katika masuala ya hedhi, club zote nchini zinaelimisha wavulana kwa wasichana kuhusu hedhi salama kwa kushirikiana na wadau wetu kama kampeni ya Namthamini"
    Aisha Sykes
    Rotary Oysterbay
    Rais wa Rotary Oysterbay
  • “Nawashukuru sana kwa namna ambavyo mnahudumia jamii ya watoto wa Tanzania, asanteni kwa huduma mnayoifanya kwa watoto wetu”
    Rosalia Mwita
    Twiga Sekondari
    Mkuu wa Shule
  • ''Nawapongeza East Africa TV na Radio kwa jitihada zao katika Kampeni hii na mimi na naungana nao, tuendelee kuwa pamoja katika hili ili tuweze kuwasaidia mabinti zetu na tuzalishe viongozi wa kike wengine wazuri katika siku za baadae'' - Mh. Fatma Nyangasa
    Fatma Nyangasa
    Wilaya ya Kigamboni
    Mkuu wa Wilaya
  • "Kuhusu kampeni ya #Namthamini mimi mwenyewe nimeshiriki kuongea na wazazi kuhusu umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu na anatimiza ndoto zake".
    Thobias Andengenye
    Kigoma
    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
  • 'Nawashukuru kwa kuja na wazo hili la kampeni ya #Namthamini hili litamsaidia mtoto wa kike kuwa huru na kuondoa tatizo kutohudhuria masomo pindi wanapokuwa katika hedhi''
    Dollah Kusenge
    Kasulu
    Mkurugenzi wa Wilaya ya Kasulu
  • 'Hatutaki mtoto wa miaka 6 afikirie kuwa Mwali, afikirie kuchezwa ngoma tunataka afikirie kusafirisha Cherry tomato nje ya nchi' - Mh. Jokate Mwegelo
    Jokate Mwegelo
    Wilaya ya Kisarawe
    Mkuu wa Wilaya

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

©  East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search