Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini
  • Uchaguzi2025
  • Marathon ya kuhamasisha hedhi salama mashuleni
    Marathon ya kuhamasisha hedhi salama mashuleni
  • Mukwasa Sekondari yanufaika NAMTHAMINI
    Mukwasa Sekondari yanufaika NAMTHAMINI
  • EATV & EA na TASACI Wakabidhi Pedi S/M Mabwepande
    EATV & EA na TASACI Wakabidhi Pedi S/M Mabwepande
  • Namthaminina waungana na EATV Jogging Club
    Namthaminina waungana na EATV Jogging Club
  • NAMTHAMINI wafika Zanzibar
    NAMTHAMINI wafika Zanzibar

Served

Girls from more than 15 regions in Tanzania

Donate Money

Donate any amount of money
5,000/=
This amount will help a girl for a period of one month.
Donate
Donation is done by the following ways
1
Bank
Account Number: 015043198200
Account Name: Namthamini
Bank Name: CRDB
2
MPESA
You can donate via our Mpesa lipa number 5999900
name East Africa Television
For inquiry call 0787 633 313

Donate Pads

Donate and help one girl for one year.
Donate
Donation is done by the following ways
You can deliver your donation of Sanitary pads at our offices located at Mikocheni EATV Studio.
For inquiry call 0787 633 313
News & Updates
Namthaminina waungana na EATV Jogging Club

Namthaminina waungana na EATV Jogging Club

Read more

Namthaminina waungana na EATV Jogging Club

Timu nzima ya Namthamini ikishirikiana na EATV Jogging Club leo katika shule ya Msingi Mabwepande hatukuwa na mbio ndefu sana ilitubidi tutumie msemo wa Wahange kuwa polepole ndio mwendo ili kuhakikisha tunafanya mazoezi sahihi yasiyoumiza watoto wetu katika siku hii ya kusherekea siku ya Mtoto wakike.

Othman Njaidi Balozi Mpya wa Namthamini

Kwa mara ya kwanza kabisa Kampeni ya Namthamini Nasimama Naye wamemtambulisha Rasmi muigizaji...

Read more

Othman Njaidi Balozi Mpya wa Namthamini

Kwa mara ya kwanza kabisa Kampeni ya Namthamini Nasimama Naye wamemtambulisha Rasmi muigizaji wa filamu Othman Njaidi kama balozi wa kampeni hiyo na hapa amepata wasaa wakuzungumza na wadogo zake kutoka ya Mandera Girls SecSchool iliyoko Msata mkoani Pwani
 

Mtangazaji wa East Africa TV na Balozi wa Kampeni ya Namthamini, Najma Paul akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari Uwemba.

Shule 6 Njombe zilizonufaika na Namthamini

Oktoba 17 mwaka huu kampeni ya Namthamini ilifika katika mkoa wa Njombe kwa ajili ya kugawa...

Read more

Shule 6 Njombe zilizonufaika na Namthamini

Mtangazaji wa East Africa TV na Balozi wa Kampeni ya Namthamini, Najma Paul akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari Uwemba.

Shule 6 kutoka wilaya tatu za Njombe Mji, Makete na Ludewa zilifikiwa na kampeni ya Namthamini ambazo ni shule za Sekondari Iwawa, Kitulo, Mabatini, Uwemba, Mavala na Mchuchuma.

Shule ya Sekondari Iwawa na Kitulo katika wilaya ya Makete zilipatiwa taulo za kike jumla ya pakiti 1512.

Wilaya ya Njombe Mji kampeni ya Namthamini ilifika katika shule ya Sekondari Mabatini pamoja na shule ya Sekondari Uwemba.

ambapo jumla ya taulo za kike pakiti 2040 zilitolewa kwa shule zote mbili.

Wilaya ya Ludewa kampeni ya Namthamini ilifika katika shule ya Sekondari Mavala na Mchuchuma ambapo wilaya hii ilipatiwa taulo za kike pakiti 1658.

 

  • More

Namthamini

  • Kiswahili
Campaign
Namthamini

In 2017 EATV LTD launched a campaign to raise female towels for needy students at school.

The campaign came after studies showed that many girls face challenges in their menstrual cycle by failing to buy female towels thus leading to school absences for approximately 3 to 7 days a month of study.

2023 is the seventh (7) year since the inception of this project, with the main goal being to keep this girl in school without fail just because she has failed to buy safe towels.

By 2023, the Campaign aims to reach 10,000 girls in various regions of Tanzania.

The purpose of the project
Our main goal is to help this girl by providing her with a safe towel and making sure she never misses her studies and achieves her dreams.

'When you raise one girl, you lift the whole community'
#Namthamini
#NasimamaNaye

Schools
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Kinana
Arusha
Shule ya Sekondari Muriet
Arusha
Shule ya Sekondari Musa
Arusha
Shule ya Sekondari Ngarenaro
Bukoba
Shule ya Sekondari Izimbya
Bukoba
Shule ya Sekondari Ruhunga
Dar es salaam
Shule ya Msingi Rahaleo
Dar es salaam
Shule ya Msingi Tuliani
Dar es salaam
Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Abdu Jumbe
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Buza
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Jangwani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kibugumo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kidete
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisota
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisutu
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Maendeleo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Minazini
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Tungi
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Turiani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Twiga
Dodoma
Shule ya Sekondari Hombolo
Dodoma
Shule ya Sekondari Kikombo
Dodoma
Shule ya Sekondari Msalato
Iringa
Shule ya Sekondari Lukosi
Iringa
Shule ya Sekondari Mazombe
Iringa
Shule ya Sekondari Nyalumbu
Kigoma
Shule ya Sekondari Bogwe
Kigoma
Shule ya Sekondari Katubuka
Kigoma
Shule ya Sekondari Kigoma Grand
Kigoma
Shule ya Sekondari Mlole
Kigoma
Shule ya Sekondari Murubona
Kigoma
Shule ya Sekondari Mwananchi
Lindi
Shule ya Sekondari Mchinga
Lindi
Shule ya Sekondari Ngongo
Manyara
Shule ya Sekondari Simbay
Manyara
Shule ya Sekondari Sumaye
Mara
Shule ya Msingi Mwisenge
Mara
Shule ya Sekondari Kyanyari
Mbeya
Shule ya Sekondari Busokelo
Mbeya
Shule ya Sekondari Garijembe
Mbeya
Shule ya Sekondari Kalonge
Mbeya
Shule ya Sekondari Maziwa
Mbeya
Shule ya Sekondari Nsenga
Mbeya
Shule ya Sekondari Stellafam
Mbeya
Shule ya Sekondari Usongwe
Mtwara
Shule ya Sekondari Chiungutwa
Mtwara
Shule ya Sekondari Lukuledi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mangamba
Mtwara
Shule ya Sekondari Masasi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mikindani
Mtwara
Shule ya Sekondari Mitengo
Mtwara
Shule ya Sekondari Naliendele
Mtwara
Shule ya Sekondari Nanyumbu
Mtwara
Shule ya Sekondari Napacho
Njombe
Shule ya Sekondari Iwawa
Njombe
Shule ya Sekondari Kitulo
Njombe
Shule ya Sekondari Mabatini
Njombe
Shule ya Sekondari Mavala
Njombe
Shule ya Sekondari Mchuchuma
Pwani
Shule ya Sekondari Dunda
Pwani
Shule ya Sekondari Kibuta
Pwani
Shule ya Sekondari Maneromango
Pwani
Shule ya Sekondari Matimbwa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Luwawasa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Manyanya
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mashujaa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbambi
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbinga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Kishapu
Shinyanga
Shule ya Sekondari Mwataga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Samuye
Shinyanga
Shule ya Sekondari Tinde
Simiyu
Shule ya Sekondari Badi
Simiyu
Shule ya Sekondari Binza
Simiyu
Shule ya Sekondari Kidinda
Simiyu
Shule ya Sekondari Somanda
Singida
Shule ya Sekondari Gunda
Singida
Shule ya Sekondari Ntuntu
Tabora
Shule ya Sekondari Idete
Tabora
Shule ya Sekondari Ikomwa
Tabora
Shule ya sekondari Ndono
Tabora
Shule ya Sekondari Tura
Tanga
Shule ya Sekondari Korogwe
Tanga
Shule ya Sekondari Kwamatuku
Tanga
Shule ya Sekondari Kwedzinga
Tanga
Shule ya Sekondari Segera
Zanzibar
Shule ya Sekondari Machui
Zanzibar
Shule ya Sekondari Mwera
Zanzibar
Shule ya Sekondari Mwera Pongwe
What they Said
  • “Tunaishukuru East Africa TV kupitia kampeni ya #ninamthamini kwa kushirikiana nasi Mandera Girls Secondary School kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama Duniani, hatua iliyoleta faraja na matumaini kwa mabinti wetu.”
    James Sungura
    Mandera Girls Secondary School
    Makamu wa shule utawala
  • ''Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze inaishukuru na kuipongeza Namthamini kwa mchango wake katika kuhakikisha watoto wa kike wanapata hedhi salama mashuleni.”
    Ramadhani Possi
    Halmashauri ya Chalinze
    Mkurugenzi Mtendaji
  • Hakuna jamii inayoweza kusonga mbele bila kumwezesha mtoto wa kike. Kumpatia elimu na huduma salama za hedhi ni kumpa heshima, afya na kujiamini ili aweze kusoma na kutimiza ndoto zake bila vikwazo.”
    JAPHET JACKSON MSWAKI
    TASACI
    Mkurugenzi
  • "Rotary tulianzisha mradi wa kuwawesha mabinti katika masuala ya hedhi, club zote nchini zinaelimisha wavulana kwa wasichana kuhusu hedhi salama kwa kushirikiana na wadau wetu kama kampeni ya Namthamini"
    Aisha Sykes
    Rotary Oysterbay
    Rais wa Rotary Oysterbay
  • “Nawashukuru sana kwa namna ambavyo mnahudumia jamii ya watoto wa Tanzania, asanteni kwa huduma mnayoifanya kwa watoto wetu”
    Rosalia Mwita
    Twiga Sekondari
    Mkuu wa Shule
  • ''Nawapongeza East Africa TV na Radio kwa jitihada zao katika Kampeni hii na mimi na naungana nao, tuendelee kuwa pamoja katika hili ili tuweze kuwasaidia mabinti zetu na tuzalishe viongozi wa kike wengine wazuri katika siku za baadae'' - Mh. Fatma Nyangasa
    Fatma Nyangasa
    Wilaya ya Kigamboni
    Mkuu wa Wilaya

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

©  East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
    • Uchaguzi2025
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
    • Uchaguzi2025
  • Search