East Africa Television
Copyright ©2018
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • 5News
    • Gallery
    • 3Schedule
    • Namthamini
  • Search
  • News
  • Currrent Affairs
  • Entertainment
  • Sport
  • Business
  • Life & Style
  • Schedule
  • Awards
  • BBALLKINGS
  • Dance100
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
Copyright ©2018
Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini
  • Wanafunzi wa shule ya sekondari Kyanyari wakipokea taulo za kike

    Wanafunzi wa kike 800 wapatiwa taulo za kike Mara
    Wilaya mbili za Musoma na Butiama kila wilaya ilipokea taulo za kike 400
  • Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama
  • Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mbambi akipokea zawadi ya t-shirt ya Namthamini.

    Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akipokea taulo za kike kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Luna Pads, Luna Kikuchi.

    Luna Pads wamthamini mtoto wa kike
    Wamechangia taulo za kike pakiti 50 ili kumbakisha binti shuleni
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akizungumza na Meneja Rasilimali watu wa ITV, Bi. Hellen Elipokea wa katikati.

    ITV wachangia Namthamini pakiti 1200
    Ambazo zinaweza kuwasaidia wanafunzi 100 kwa mwaka mzima
  • Wanafunzi wa shule ya sekondari Kyanyari wakipokea taulo za kike

    Wanafunzi wa kike 800 wapatiwa taulo za kike Mara
    Wilaya mbili za Musoma na Butiama kila wilaya ilipokea taulo za kike 400
  • Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama

Served

Girls from more than 15 regions in Tanzania

Donate Money

Donate any amount of money
5,000/=
This amount will help a girl for a period of one month.
Donate
Donation is done by the following ways
1
Bank
Account Number: 015043198200
Account Name: Namthamini
Bank Name: CRDB
2
MPESA
You can donate via our Mpesa lipa number 5999900
name East Africa Television
For inquiry call 0787 633 313

Donate Pads

Donate and help one girl for one year.
Donate
Donation is done by the following ways
You can deliver your donation of Sanitary pads at our offices located at Mikocheni EATV Studio.
For inquiry call 0787 633 313
News & Updates

Mkuu wa Idara ya Michezo East Africa TV na East Africa Radio, David Kampista (kushoto) akipokea mchango wa taulo za kike kutoka kwa Melkczedeck Bruno.

Mwanafunzi wa chuo afanya jambo zito

Mwanafunzi wa chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Lindi, Melkczedeck Bruno alifika katika ofisi...

Read more

Mwanafunzi wa chuo afanya jambo zito

Mkuu wa Idara ya Michezo East Africa TV na East Africa Radio, David Kampista (kushoto) akipokea mchango wa taulo za kike kutoka kwa Melkczedeck Bruno.

Bruno anasema wakati kampeni hii inaanza mwaka 2017 alikuwa bado kijana mdogo, alitamani kushiriki kuchangia lakini hakuweza. Mwaka huu alijipanga na ametimza ahadi yake ya kusaidia wanafunzi wa kike mashuleni.

 
 
 
 

View this post on Instagram
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

A post shared by EastAfricaTV (EATV) (@eastafricatv)

Kwa pamoja tunaweza kutokomeza sifuri kwa watoto wa kike mashuleni  kwa kutengeneza mikakati dhidi yao na kuwapa elimu ya kutosha.

 

Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.

Mwasiti atoa wito kwa Nandy na Zuchu

Staa wa bongo fleva, Mwasiti Almasi leo alifika katika ofisi za East Africa TV na East Africa...

Read more

Mwasiti atoa wito kwa Nandy na Zuchu

Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.

Mwasiti ni miongoni mwa wasanii waliokuwepo katika uzinduzi wa kampeni ya Namthamini iliyofanyika Mei 27 mwaka huu katika shule ya sekondari Kidete, Wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam.

 
 
 
 

View this post on Instagram
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

A post shared by EastAfricaTV (EATV) (@eastafricatv)

Hedhi imekua kikwazo kikubwa sana katika elimu ya mtoto wa kike, kwani wapo wanaoshindwa kwenda shule siku 3 hadi 7 kwa sababu ya maumivu makali wakati wa hedhi, na wengine kwa sababu ya ukosefu wa taulo za kike za kujihifadhi hivyo anaweza kubaki nyumbani hadi amalize hedhi.

Mwasiti anasema anatambua changamoto wanazokumbana nazo wanafunzi wa kike shuleni wakikosa taulo za kike za kujihifadhi katika kipindi cha hedhi, moja wapo ni kushindwa kufika shule.

Kampeni ya Namthamini imelenga kuwasaidia wanafunzi wanaotoka katika familia duni nchini kwa kuwapatia taulo za kike na kuhakikisha hawakosi tena masomo pindi wanapokuwa katika siku zao za hedhi na kuwaongezea uwezo wa kujiamini, kusoma kwa bidii na kutimiza ndoto zao.

Mwasiti ametoa wito kwa wasanii wa kike nchini kama Linah, Nandy, Dayna Nyange, Maua Sama, Haitham, Saraphina na Zuchu wajitokeze kuwasaidia wanafunzi wa kike waweze kupata mahitaji muhimu shuleni.

Staa wa bongo fleva @MwasitiJ leo alifika katika ofisi za #EastAfricaTV na #EastAfricaRadio na kukabidhi mchango wa taulo za kike pakiti 72 kupitia kampeni ya #NAMTHAMINI ambazo zitakwenda kusaidia wanafunzi 7 shuleni kwa mwaka mzima. pic.twitter.com/PyAHtJ7DSc

— EastAfricaTV (@eastafricatv) July 5, 2022

 

 

Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.

Daktari mfano wa kuigwa katika jamii

Hedhi salama bado changamoto kwa shule za msingi na sekondari nchini, kwa kutambua hilo Dkt...

Read more

Daktari mfano wa kuigwa katika jamii

Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.

Hii ni mara ya pili kwa Dkt Ibrahimu kuchangia kampeni ya Namthamini kwa mwaka huu, Juni 27 Dkt Ibrahimu alifika katika ofisi zetu na kutoa mchango wa taulo za kike pakiti 16.

 
 
 
 

View this post on Instagram
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

A post shared by EastAfricaTV (EATV) (@eastafricatv)

 

Pia siku ya leo tulipokea mchango taulo za kike pakiti 12 kutoka kwa Abdallah Ngoma ambaye ni msikilizaji mkubwa wa vipindi vya East Africa Radio.

Athibitha kwamba yeye ni msikilizaji mkubwa wa vipindi vya #EastAfricaRadio Abdallah Ngoma leo alifika katika ofisi zetu na kutoa mchango wa pakiti 12 za taulo za kike kwa ajili ya kampeni ya #NAMTHAMINI ambazo zitatosha kuwaweka shuleni watoto wawili wa kike kwa miezi 6. pic.twitter.com/eLLhWomZm2

— EastAfricaRadio (@earadiofm) July 4, 2022

Fahamu kwamba mchango wa Tsh 5,000 utamsaidia mtoto wa kike kupata taulo za kike akiwa shuleni kwa mwezi mzima. Unaweza kuleta mchango wako katika ofisi zetu zilizopo Mikocheni Viwandani. Pia unaweza kutuma mchango kwenye namba yetu ya ofisi 0787633313 yenye jina la East Africa Television.

 

  • More

Namthamini

  • Kiswahili
Campaign
Namthamini

In 2017 EATV LTD launched a campaign to raise female towels for needy students at school.

The campaign came after studies showed that many girls face challenges in their menstrual cycle by failing to buy female towels thus leading to school absences for approximately 3 to 7 days a month of study.

2023 is the seventh (7) year since the inception of this project, with the main goal being to keep this girl in school without fail just because she has failed to buy safe towels.

By 2023, the Campaign aims to reach 10,000 girls in various regions of Tanzania.

The purpose of the project
Our main goal is to help this girl by providing her with a safe towel and making sure she never misses her studies and achieves her dreams.

'When you raise one girl, you lift the whole community'
#Namthamini
#NasimamaNaye

Schools
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Kinana
Arusha
Shule ya Sekondari Muriet
Arusha
Shule ya Sekondari Musa
Arusha
Shule ya Sekondari Ngarenaro
Bukoba
Shule ya Sekondari Izimbya
Bukoba
Shule ya Sekondari Ruhunga
Dar es salaam
Shule ya Msingi Rahaleo
Dar es salaam
Shule ya Msingi Tuliani
Dar es salaam
Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Abdu Jumbe
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Buza
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Jangwani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kibugumo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kidete
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisota
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisutu
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Maendeleo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Minazini
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Tungi
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Turiani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Twiga
Dodoma
Shule ya Sekondari Hombolo
Dodoma
Shule ya Sekondari Kikombo
Dodoma
Shule ya Sekondari Msalato
Iringa
Shule ya Sekondari Lukosi
Iringa
Shule ya Sekondari Mazombe
Iringa
Shule ya Sekondari Nyalumbu
Kigoma
Shule ya Sekondari Bogwe
Kigoma
Shule ya Sekondari Katubuka
Kigoma
Shule ya Sekondari Kigoma Grand
Kigoma
Shule ya Sekondari Mlole
Kigoma
Shule ya Sekondari Murubona
Kigoma
Shule ya Sekondari Mwananchi
Lindi
Shule ya Sekondari Mchinga
Lindi
Shule ya Sekondari Ngongo
Manyara
Shule ya Sekondari Simbay
Manyara
Shule ya Sekondari Sumaye
Mara
Shule ya Msingi Mwisenge
Mara
Shule ya Sekondari Kyanyari
Mbeya
Shule ya Sekondari Busokelo
Mbeya
Shule ya Sekondari Garijembe
Mbeya
Shule ya Sekondari Kalonge
Mbeya
Shule ya Sekondari Maziwa
Mbeya
Shule ya Sekondari Nsenga
Mbeya
Shule ya Sekondari Stellafam
Mbeya
Shule ya Sekondari Usongwe
Mtwara
Shule ya Sekondari Chiungutwa
Mtwara
Shule ya Sekondari Lukuledi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mangamba
Mtwara
Shule ya Sekondari Masasi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mikindani
Mtwara
Shule ya Sekondari Mitengo
Mtwara
Shule ya Sekondari Naliendele
Mtwara
Shule ya Sekondari Nanyumbu
Mtwara
Shule ya Sekondari Napacho
Njombe
Shule ya Sekondari Iwawa
Njombe
Shule ya Sekondari Kitulo
Njombe
Shule ya Sekondari Mabatini
Njombe
Shule ya Sekondari Mavala
Njombe
Shule ya Sekondari Mchuchuma
Pwani
Shule ya Sekondari Dunda
Pwani
Shule ya Sekondari Kibuta
Pwani
Shule ya Sekondari Maneromango
Pwani
Shule ya Sekondari Matimbwa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Luwawasa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Manyanya
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mashujaa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbambi
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbinga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Kishapu
Shinyanga
Shule ya Sekondari Mwataga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Samuye
Shinyanga
Shule ya Sekondari Tinde
Simiyu
Shule ya Sekondari Badi
Simiyu
Shule ya Sekondari Binza
Simiyu
Shule ya Sekondari Kidinda
Simiyu
Shule ya Sekondari Somanda
Singida
Shule ya Sekondari Gunda
Singida
Shule ya Sekondari Ntuntu
Tabora
Shule ya Sekondari Idete
Tabora
Shule ya Sekondari Ikomwa
Tabora
Shule ya sekondari Ndono
Tabora
Shule ya Sekondari Tura
Tanga
Shule ya Sekondari Korogwe
Tanga
Shule ya Sekondari Kwamatuku
Tanga
Shule ya Sekondari Kwedzinga
Tanga
Shule ya Sekondari Segera
What they Said
  • "Rotary tulianzisha mradi wa kuwawesha mabinti katika masuala ya hedhi, club zote nchini zinaelimisha wavulana kwa wasichana kuhusu hedhi salama kwa kushirikiana na wadau wetu kama kampeni ya Namthamini"
    Aisha Sykes
    Rotary Oysterbay
    Rais wa Rotary Oysterbay
  • “Nawashukuru sana kwa namna ambavyo mnahudumia jamii ya watoto wa Tanzania, asanteni kwa huduma mnayoifanya kwa watoto wetu”
    Rosalia Mwita
    Twiga Sekondari
    Mkuu wa Shule
  • ''Nawapongeza East Africa TV na Radio kwa jitihada zao katika Kampeni hii na mimi na naungana nao, tuendelee kuwa pamoja katika hili ili tuweze kuwasaidia mabinti zetu na tuzalishe viongozi wa kike wengine wazuri katika siku za baadae'' - Mh. Fatma Nyangasa
    Fatma Nyangasa
    Wilaya ya Kigamboni
    Mkuu wa Wilaya
  • "Kuhusu kampeni ya #Namthamini mimi mwenyewe nimeshiriki kuongea na wazazi kuhusu umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu na anatimiza ndoto zake".
    Thobias Andengenye
    Kigoma
    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
  • 'Nawashukuru kwa kuja na wazo hili la kampeni ya #Namthamini hili litamsaidia mtoto wa kike kuwa huru na kuondoa tatizo kutohudhuria masomo pindi wanapokuwa katika hedhi''
    Dollah Kusenge
    Kasulu
    Mkurugenzi wa Wilaya ya Kasulu
  • 'Hatutaki mtoto wa miaka 6 afikirie kuwa Mwali, afikirie kuchezwa ngoma tunataka afikirie kusafirisha Cherry tomato nje ya nchi' - Mh. Jokate Mwegelo
    Jokate Mwegelo
    Wilaya ya Kisarawe
    Mkuu wa Wilaya

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

© 2025 East Africa Television Limited. All Rights Reserved