Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini
  • Wanafunzi wa shule ya sekondari Kyanyari wakipokea taulo za kike

    Wanafunzi wa kike 800 wapatiwa taulo za kike Mara
    Wilaya mbili za Musoma na Butiama kila wilaya ilipokea taulo za kike 400
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akizungumza na Meneja Rasilimali watu wa ITV, Bi. Hellen Elipokea wa katikati.

    ITV wachangia Namthamini pakiti 1200
    Ambazo zinaweza kuwasaidia wanafunzi 100 kwa mwaka mzima
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akipokea taulo za kike kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Luna Pads, Luna Kikuchi.

    Luna Pads wamthamini mtoto wa kike
    Wamechangia taulo za kike pakiti 50 ili kumbakisha binti shuleni
  • Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mbambi akipokea zawadi ya t-shirt ya Namthamini.

    Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama
  • Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama

Wasichana

kutoka mikoa zaidi ya 15 Tanzania wamenufaika

Msaada wa Pesa

Changia kiasi chochote cha pesa
5,000/=
(Je wajua kwa TZS 5,000/= inamweka mtoto wa kike shule mwezi mzima?)
Changia (Donate)
Toa mchango wako wa Fedha kwa njia zifuatazo
1
Bank
Akaunti Namba: 015043198200
Jina la Account: Namthamini
Jina la Benki: CRDB
2
MPESA
Unaweza kuchangia kwa namba ya malipo 5999900
jina East Africa Television
Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 633 313

Changia Pedi

Changia pedi kumsaidia binti mmoja kwa mwaka.
Changia (Donate)
Wasilisha mchango wako wa PEDI
Ofisi za East Africa Television na East Africa Radio, Mikocheni, Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 633 313
Habari

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Namthamini 2022 yaanzia Mtwara

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio imeanza kugawa taulo...

Soma zaidi

Namthamini 2022 yaanzia Mtwara

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Wanafunzi wa shule za sekondari Mikindani na Mitengo zilizopo katika wilaya ya Mtwara, walikabidhiwa taulo za kike pakiti 862.

Pia kampeni hii ikafika katika shule za sekondari Naliendele na Mangamba ambapo wanafunzi wa shule hizo walikabidhiwa taulo za kike jumla ya pakiti 969.

Jumla ya shule nne za sekondari katika wilaya ya Mtwara zilikabidhiwa taulo za kike siku moja ambazo ni Mikindani, Mitengo, Naliendele na Mangamba

Elimu kuhusu hedhi salama ni muhimu katika kuboresha umakini na ufaulu kwa wanafunzi wa kike mashuleni. Kupitia kampeni ya Namthamini licha ya kusaidia wanafunzi taulo za kike, pia hutoa elimu ya hedhi salama kwani itasaidia wanafunzi wa kike namna ya kujitunza na hata wanapokuwa katika siku za hedhi wanakuwa katika mazingira salama na watakuwa wanaendelea na masomo yao bila changamoto yoyote.

 

Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.

NBC watoa taulo za kike kwa wanafunzi 250

Benki ya NBC siku ya leo imechangia pakiti 3,000 za taulo za kike katika kampeni ya Namthamini...

Soma zaidi

NBC watoa taulo za kike kwa wanafunzi 250

Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter amesema wamewasaidia wanafunzi 250 kwa kuwa wanathamini afya za watoto wa kike ili waweze kutimiza ndoto zao.

Benki ya NBC ni moja kati ya washirika wanaoisaidia kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 ili kuwawezesha wanafunzi wa kike kutokosa masomo yao pindi wanapokuwa katika kipindi cha  hedhi.

Kwa upande wake Brenda Killeo ambaye ni Meneja Mawasiliano wa benki ya NBC amesema kampeni ya Namthamini ni miongoni mwa kampeni zenye thamani hapa nchini kwa kuwa inainua elimu na kuwafanya wanafunzi wa kike walio mashuleni kuwa majasiri na kutimiza ndoto zao ndiyo maana wameiunga mkono.

Wawakilishi wa kampuni ya QiPads wakiwa katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

QiPads wachangia pedi kwa wanafunzi mwaka mzima

Kampuni ya taulo za kike ya QiPads siku ya leo imechangia kampeni ya Namthamini taulo za kike...

Soma zaidi

QiPads wachangia pedi kwa wanafunzi mwaka mzima

Wawakilishi wa kampuni ya QiPads wakiwa katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Mkurugenzi wa kampuni ya QiPads, Emmanuel Meena anasema wameguswa na kampeni ya Namthamini na waliona ni kitu kizuri kujitolea kwa watoto wa kike ili kuwaweka salama kiafya.

Kampeni ya Namthamini ilizinduliwa mwezi Mei mwaka huu, ikiwa ni msimu wa sita katika kuwasadia wanafunzi wa kike mashuleni tangu mwaka 2017.

  • Tazama zaidi

Namthamini

  • English
Kampeni
Namthamini

Mwaka 2017 East Africa Television LTD ilianzisha kampeni ya kuchangisha taulo za kike kwa wanafunzi wenye uhitaji shuleni. 

Kampeni hii ilikuja baada ya tafiti kuonesha kuwa wasichana wengi hupata changamoto katika siku zao za hedhi kwa kushindwa kununua taulo za kike hivyo kupelekea kukosa masomo shuleni kwa takribani siku 3 mpaka 7 kwa mwezi za masomo. 

2024 ni mwaka wa saba (8) tangu kuanzishwa kwa mradi huu, tukishiriana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) lengo kuu likiwa ni kuhakikisha watoto wa kike wanapata sio tu taulo za kike lakini pia wanakuwa na vyoo vizuri na maji safi mashuleni ili wabaki salama katika siku zao za hedhi.

Mwaka huu 2024, kampeni hii ina lengo la kufikia watoto wa kike 10,000 katika mikoa mbali mbali nchini Tanzania.

Lengo la Kampeni
Lengo letu kuu ni kumsaidia msichana huyu kwa kumpatia taulo salama na kuhakikisha hakosi tena masomo yake na anafikia ndoto zake.

'Unapomuinua mtoto mmoja wa kike, umeinua jamii nzima' 
#Namthamini 
#NasimamaNaye

Shule Nufaika
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Kinana
Arusha
Shule ya Sekondari Muriet
Arusha
Shule ya Sekondari Musa
Arusha
Shule ya Sekondari Ngarenaro
Bukoba
Shule ya Sekondari Izimbya
Bukoba
Shule ya Sekondari Ruhunga
Dar es salaam
Shule ya Msingi Rahaleo
Dar es salaam
Shule ya Msingi Tuliani
Dar es salaam
Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Abdu Jumbe
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Buza
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Jangwani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kibugumo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kidete
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisota
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisutu
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Maendeleo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Minazini
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Tungi
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Turiani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Twiga
Dodoma
Shule ya Sekondari Hombolo
Dodoma
Shule ya Sekondari Kikombo
Dodoma
Shule ya Sekondari Msalato
Iringa
Shule ya Sekondari Lukosi
Iringa
Shule ya Sekondari Mazombe
Iringa
Shule ya Sekondari Nyalumbu
Kigoma
Shule ya Sekondari Bogwe
Kigoma
Shule ya Sekondari Katubuka
Kigoma
Shule ya Sekondari Kigoma Grand
Kigoma
Shule ya Sekondari Mlole
Kigoma
Shule ya Sekondari Murubona
Kigoma
Shule ya Sekondari Mwananchi
Lindi
Shule ya Sekondari Mchinga
Lindi
Shule ya Sekondari Ngongo
Manyara
Shule ya Sekondari Simbay
Manyara
Shule ya Sekondari Sumaye
Mara
Shule ya Msingi Mwisenge
Mara
Shule ya Sekondari Kyanyari
Mbeya
Shule ya Sekondari Busokelo
Mbeya
Shule ya Sekondari Garijembe
Mbeya
Shule ya Sekondari Kalonge
Mbeya
Shule ya Sekondari Maziwa
Mbeya
Shule ya Sekondari Nsenga
Mbeya
Shule ya Sekondari Stellafam
Mbeya
Shule ya Sekondari Usongwe
Mtwara
Shule ya Sekondari Chiungutwa
Mtwara
Shule ya Sekondari Lukuledi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mangamba
Mtwara
Shule ya Sekondari Masasi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mikindani
Mtwara
Shule ya Sekondari Mitengo
Mtwara
Shule ya Sekondari Naliendele
Mtwara
Shule ya Sekondari Nanyumbu
Mtwara
Shule ya Sekondari Napacho
Njombe
Shule ya Sekondari Iwawa
Njombe
Shule ya Sekondari Kitulo
Njombe
Shule ya Sekondari Mabatini
Njombe
Shule ya Sekondari Mavala
Njombe
Shule ya Sekondari Mchuchuma
Pwani
Shule ya Sekondari Dunda
Pwani
Shule ya Sekondari Kibuta
Pwani
Shule ya Sekondari Maneromango
Pwani
Shule ya Sekondari Matimbwa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Luwawasa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Manyanya
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mashujaa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbambi
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbinga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Kishapu
Shinyanga
Shule ya Sekondari Mwataga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Samuye
Shinyanga
Shule ya Sekondari Tinde
Simiyu
Shule ya Sekondari Badi
Simiyu
Shule ya Sekondari Binza
Simiyu
Shule ya Sekondari Kidinda
Simiyu
Shule ya Sekondari Somanda
Singida
Shule ya Sekondari Gunda
Singida
Shule ya Sekondari Ntuntu
Tabora
Shule ya Sekondari Idete
Tabora
Shule ya Sekondari Ikomwa
Tabora
Shule ya sekondari Ndono
Tabora
Shule ya Sekondari Tura
Tanga
Shule ya Sekondari Korogwe
Tanga
Shule ya Sekondari Kwamatuku
Tanga
Shule ya Sekondari Kwedzinga
Tanga
Shule ya Sekondari Segera
Yaliyosemwa
  • "Rotary tulianzisha mradi wa kuwawesha mabinti katika masuala ya hedhi, club zote nchini zinaelimisha wavulana kwa wasichana kuhusu hedhi salama kwa kushirikiana na wadau wetu kama kampeni ya Namthamini"
    Aisha Sykes
    Rotary Oysterbay
    Rais wa Rotary Oysterbay
  • “Nawashukuru sana kwa namna ambavyo mnahudumia jamii ya watoto wa Tanzania, asanteni kwa huduma mnayoifanya kwa watoto wetu”
    Rosalia Mwita
    Twiga Sekondari
    Mkuu wa Shule
  • ''Nawapongeza East Africa TV na Radio kwa jitihada zao katika Kampeni hii na mimi na naungana nao, tuendelee kuwa pamoja katika hili ili tuweze kuwasaidia mabinti zetu na tuzalishe viongozi wa kike wengine wazuri katika siku za baadae'' - Mh. Fatma Nyangasa
    Fatma Nyangasa
    Wilaya ya Kigamboni
    Mkuu wa Wilaya
  • "Kuhusu kampeni ya #Namthamini mimi mwenyewe nimeshiriki kuongea na wazazi kuhusu umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu na anatimiza ndoto zake".
    Thobias Andengenye
    Kigoma
    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
  • 'Nawashukuru kwa kuja na wazo hili la kampeni ya #Namthamini hili litamsaidia mtoto wa kike kuwa huru na kuondoa tatizo kutohudhuria masomo pindi wanapokuwa katika hedhi''
    Dollah Kusenge
    Kasulu
    Mkurugenzi wa Wilaya ya Kasulu
  • 'Hatutaki mtoto wa miaka 6 afikirie kuwa Mwali, afikirie kuchezwa ngoma tunataka afikirie kusafirisha Cherry tomato nje ya nchi' - Mh. Jokate Mwegelo
    Jokate Mwegelo
    Wilaya ya Kisarawe
    Mkuu wa Wilaya

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

© 2025 East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search