Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini
  • Wanafunzi wa shule ya sekondari Kyanyari wakipokea taulo za kike

    Wanafunzi wa kike 800 wapatiwa taulo za kike Mara
    Wilaya mbili za Musoma na Butiama kila wilaya ilipokea taulo za kike 400
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akizungumza na Meneja Rasilimali watu wa ITV, Bi. Hellen Elipokea wa katikati.

    ITV wachangia Namthamini pakiti 1200
    Ambazo zinaweza kuwasaidia wanafunzi 100 kwa mwaka mzima
  • Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akipokea taulo za kike kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Luna Pads, Luna Kikuchi.

    Luna Pads wamthamini mtoto wa kike
    Wamechangia taulo za kike pakiti 50 ili kumbakisha binti shuleni
  • Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mbambi akipokea zawadi ya t-shirt ya Namthamini.

    Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama
  • Namthamini 2022 wanafunzi wamepata zawadi kibao
    Wamepatiwa taulo za kike na elimu ya hedhi salama

Wasichana

kutoka mikoa zaidi ya 15 Tanzania wamenufaika

Msaada wa Pesa

Changia kiasi chochote cha pesa
5,000/=
(Je wajua kwa TZS 5,000/= inamweka mtoto wa kike shule mwezi mzima?)
Changia (Donate)
Toa mchango wako wa Fedha kwa njia zifuatazo
1
Bank
Akaunti Namba: 015043198200
Jina la Account: Namthamini
Jina la Benki: CRDB
2
MPESA
Unaweza kuchangia kwa namba ya malipo 5999900
jina East Africa Television
Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 633 313

Changia Pedi

Changia pedi kumsaidia binti mmoja kwa mwaka.
Changia (Donate)
Wasilisha mchango wako wa PEDI
Ofisi za East Africa Television na East Africa Radio, Mikocheni, Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 633 313
Habari

Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.

Kutoka Mwanza mpaka Dar kwa ajili ya Namthamini

Kutoa ni moyo na si utajiri, na Dkt Ibrahimu Ibrahimu kutoka hospitali ya Sekou Toure, Mwanza...

Soma zaidi

Kutoka Mwanza mpaka Dar kwa ajili ya Namthamini

Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.

Dkt Ibrahimu anasema wanafunzi wa vijijini ndiyo wahanga wakubwa na wanahitaji kusaidia taulo za kike kutokana na kule mazingira yao ni tofauti na mjini ambapo kuna changamoto ya upatikanaji wa taulo za kike.

Tunaendelea kukusanya michango kwa ajili ya kampeni ya #NAMTHAMINI na leo tulipata ugeni wa Dkt Ibrahim Ibrahim kutoka hospitali ya Sekou toure, Mwanza ambaye amechangia pakiti 16 za taulo za kike zitakazosaidia wanafunzi wawili shuleni kwa mwaka mzima. pic.twitter.com/hu41JkenBW

— EastAfricaTV (@eastafricatv) June 27, 2022

 

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Rais wa Rotary atoa msaada kwa wanafunzi 800

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta leo Juni 20 alitembelea vyombo vya habari vya IPP,...

Soma zaidi

Rais wa Rotary atoa msaada kwa wanafunzi 800

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Msaada huo wa Rotary utakwenda kusaidia wanafunzi wa kike zaidi ya 800 mashuleni kwa mwaka mzima.

Mwenyekiti wa IPP, Abdiel Mengi amezungumza katika tukio hilo kwa kusema, toka kuanzishwa kwa vyombo vya habari vya IPP waasisi wake walifanya masuala mbalimbali ya kuhudumia jamii, na mpaka sasa kupitia kampeni ya Namthamini imeshawafikia wanafunzi wengi katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Rais wa Rotary Oysterbay, Aisha Sykes naye alizungumza kwa niaba ya Rais wa Rotary Kimataifa, kwa kusema tangu waanzishe elimu ya masuala ya hedhi, wameweza kuwajengea uwezo wanafunzi kupitia kampeni ya Namthamini na kuwainua mabinti wanaotoka kaya masikini na kusisitiza wataendelea kuchangia kampeni hiyo.

Pia Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta siku ya leo alitembelea miradi mbalimbali inayofanywa na taasisi yake katika shule ya sekondari Mtakuja maeneo ya Kunduchi, Dar es Salaam ambayo inagusa hedhi salama na kuinua kiwango cha elimu nchini.

 

 

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.

KITM wametimiza ahadi yao kwa mtoto wa kike

Katika kuunga mkono kampeni ya Namthamini na kuhakikisha mtoto wa kike hakosi masomo kwa kukosa...

Soma zaidi

KITM wametimiza ahadi yao kwa mtoto wa kike

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.

Ahmed Mbezi ambaye ni Mkuu wa chuo hicho amesema wametoa mchango huo ili kutimiza ahadi yao waliyoitoa kupitia kipindi cha DADAZ kwamba watahakikisha wanachangia katika kampeni ya Namthamini ili kuweza kuwasaidia watoto wa kike kubaki shuleni kipindi wakiwa kwenye siku zao za hedhi.

 

Mchango wa pakiti 128 za taulo za kike walizotoa zitaweza kuwasaidia wanafunzi 13 kwa mwaka mzima.

Kwa upande wake Dorotea Tobias ambaye ni Mkutubi amesema watoto wa kike wana thamani kubwa katika nchi na ni wakina Samia wengine, ndiyo maana wao kama chuo wameguswa na kampeni hii na kuchangia.

  • Tazama zaidi

Namthamini

  • English
Kampeni
Namthamini

Mwaka 2017 East Africa Television LTD ilianzisha kampeni ya kuchangisha taulo za kike kwa wanafunzi wenye uhitaji shuleni. 

Kampeni hii ilikuja baada ya tafiti kuonesha kuwa wasichana wengi hupata changamoto katika siku zao za hedhi kwa kushindwa kununua taulo za kike hivyo kupelekea kukosa masomo shuleni kwa takribani siku 3 mpaka 7 kwa mwezi za masomo. 

2024 ni mwaka wa saba (8) tangu kuanzishwa kwa mradi huu, tukishiriana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) lengo kuu likiwa ni kuhakikisha watoto wa kike wanapata sio tu taulo za kike lakini pia wanakuwa na vyoo vizuri na maji safi mashuleni ili wabaki salama katika siku zao za hedhi.

Mwaka huu 2024, kampeni hii ina lengo la kufikia watoto wa kike 10,000 katika mikoa mbali mbali nchini Tanzania.

Lengo la Kampeni
Lengo letu kuu ni kumsaidia msichana huyu kwa kumpatia taulo salama na kuhakikisha hakosi tena masomo yake na anafikia ndoto zake.

'Unapomuinua mtoto mmoja wa kike, umeinua jamii nzima' 
#Namthamini 
#NasimamaNaye

Shule Nufaika
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Arusha
Arusha
Shule ya Sekondari Kinana
Arusha
Shule ya Sekondari Muriet
Arusha
Shule ya Sekondari Musa
Arusha
Shule ya Sekondari Ngarenaro
Bukoba
Shule ya Sekondari Izimbya
Bukoba
Shule ya Sekondari Ruhunga
Dar es salaam
Shule ya Msingi Rahaleo
Dar es salaam
Shule ya Msingi Tuliani
Dar es salaam
Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Abdu Jumbe
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Buza
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Jangwani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kibugumo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kidete
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisota
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Kisutu
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Maendeleo
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Minazini
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Tungi
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Turiani
Dar es salaam
Shule ya Sekondari Twiga
Dodoma
Shule ya Sekondari Hombolo
Dodoma
Shule ya Sekondari Kikombo
Dodoma
Shule ya Sekondari Msalato
Iringa
Shule ya Sekondari Lukosi
Iringa
Shule ya Sekondari Mazombe
Iringa
Shule ya Sekondari Nyalumbu
Kigoma
Shule ya Sekondari Bogwe
Kigoma
Shule ya Sekondari Katubuka
Kigoma
Shule ya Sekondari Kigoma Grand
Kigoma
Shule ya Sekondari Mlole
Kigoma
Shule ya Sekondari Murubona
Kigoma
Shule ya Sekondari Mwananchi
Lindi
Shule ya Sekondari Mchinga
Lindi
Shule ya Sekondari Ngongo
Manyara
Shule ya Sekondari Simbay
Manyara
Shule ya Sekondari Sumaye
Mara
Shule ya Msingi Mwisenge
Mara
Shule ya Sekondari Kyanyari
Mbeya
Shule ya Sekondari Busokelo
Mbeya
Shule ya Sekondari Garijembe
Mbeya
Shule ya Sekondari Kalonge
Mbeya
Shule ya Sekondari Maziwa
Mbeya
Shule ya Sekondari Nsenga
Mbeya
Shule ya Sekondari Stellafam
Mbeya
Shule ya Sekondari Usongwe
Mtwara
Shule ya Sekondari Chiungutwa
Mtwara
Shule ya Sekondari Lukuledi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mangamba
Mtwara
Shule ya Sekondari Masasi
Mtwara
Shule ya Sekondari Mikindani
Mtwara
Shule ya Sekondari Mitengo
Mtwara
Shule ya Sekondari Naliendele
Mtwara
Shule ya Sekondari Nanyumbu
Mtwara
Shule ya Sekondari Napacho
Njombe
Shule ya Sekondari Iwawa
Njombe
Shule ya Sekondari Kitulo
Njombe
Shule ya Sekondari Mabatini
Njombe
Shule ya Sekondari Mavala
Njombe
Shule ya Sekondari Mchuchuma
Pwani
Shule ya Sekondari Dunda
Pwani
Shule ya Sekondari Kibuta
Pwani
Shule ya Sekondari Maneromango
Pwani
Shule ya Sekondari Matimbwa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Luwawasa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Manyanya
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mashujaa
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbambi
Ruvuma
Shule ya Sekondari Mbinga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Kishapu
Shinyanga
Shule ya Sekondari Mwataga
Shinyanga
Shule ya Sekondari Samuye
Shinyanga
Shule ya Sekondari Tinde
Simiyu
Shule ya Sekondari Badi
Simiyu
Shule ya Sekondari Binza
Simiyu
Shule ya Sekondari Kidinda
Simiyu
Shule ya Sekondari Somanda
Singida
Shule ya Sekondari Gunda
Singida
Shule ya Sekondari Ntuntu
Tabora
Shule ya Sekondari Idete
Tabora
Shule ya Sekondari Ikomwa
Tabora
Shule ya sekondari Ndono
Tabora
Shule ya Sekondari Tura
Tanga
Shule ya Sekondari Korogwe
Tanga
Shule ya Sekondari Kwamatuku
Tanga
Shule ya Sekondari Kwedzinga
Tanga
Shule ya Sekondari Segera
Yaliyosemwa
  • "Rotary tulianzisha mradi wa kuwawesha mabinti katika masuala ya hedhi, club zote nchini zinaelimisha wavulana kwa wasichana kuhusu hedhi salama kwa kushirikiana na wadau wetu kama kampeni ya Namthamini"
    Aisha Sykes
    Rotary Oysterbay
    Rais wa Rotary Oysterbay
  • “Nawashukuru sana kwa namna ambavyo mnahudumia jamii ya watoto wa Tanzania, asanteni kwa huduma mnayoifanya kwa watoto wetu”
    Rosalia Mwita
    Twiga Sekondari
    Mkuu wa Shule
  • ''Nawapongeza East Africa TV na Radio kwa jitihada zao katika Kampeni hii na mimi na naungana nao, tuendelee kuwa pamoja katika hili ili tuweze kuwasaidia mabinti zetu na tuzalishe viongozi wa kike wengine wazuri katika siku za baadae'' - Mh. Fatma Nyangasa
    Fatma Nyangasa
    Wilaya ya Kigamboni
    Mkuu wa Wilaya
  • "Kuhusu kampeni ya #Namthamini mimi mwenyewe nimeshiriki kuongea na wazazi kuhusu umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu na anatimiza ndoto zake".
    Thobias Andengenye
    Kigoma
    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
  • 'Nawashukuru kwa kuja na wazo hili la kampeni ya #Namthamini hili litamsaidia mtoto wa kike kuwa huru na kuondoa tatizo kutohudhuria masomo pindi wanapokuwa katika hedhi''
    Dollah Kusenge
    Kasulu
    Mkurugenzi wa Wilaya ya Kasulu
  • 'Hatutaki mtoto wa miaka 6 afikirie kuwa Mwali, afikirie kuchezwa ngoma tunataka afikirie kusafirisha Cherry tomato nje ya nchi' - Mh. Jokate Mwegelo
    Jokate Mwegelo
    Wilaya ya Kisarawe
    Mkuu wa Wilaya

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

©  East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search